Home » Product » Mikabala Ya Waandishi Wa Vitabu Vya Kiada Kuhusu Mtindo Wa Uandishi Insha Za Kiswahili Katika Shule

Mikabala Ya Waandishi Wa Vitabu Vya Kiada Kuhusu Mtindo Wa Uandishi Insha Za Kiswahili Katika Shule

Vitabu vya kiada vina nafasi kubwa katika ufundishaji na ujifundishaji wa insha za Kiswahili katika shule za upili nchini Kenya. Licha ya umuhimu huu katika mchakato wa ufundishaji na ujifundishaji, vitabu vya kiada huwasilisha mikabala tofauti kuhusu mtindo wa insha na hivyo, kuwatatiza walimu na wanafunzi wanaovitumia. Kazi hii iililenga kuchunguza mikabala ya uandishi wa […]

ISBN: 979-8-89248-700-9

35.99

Category:

Additional information

ISBN

979-8-89248-700-9

Author

Nester Ateya

Publisher

Publication year

Language

Number of pages

105